1 Samuel 2:8

8 aHumwinua maskini kutoka mavumbini
na humwinua mhitaji kutoka lundo la majivu;
huwaketisha pamoja na wakuu
na kuwafanya warithi kiti cha enzi cha heshima.

“Kwa kuwa misingi ya dunia ni ya Bwana;
juu yake ameuweka ulimwengu.
Copyright information for SwhNEN